• Login
    View Item 
    •   MKSU Digital Repository Home
    • Research and Publications
    • School of Humanities and Social Sciences
    • School of Humanities and Social Sciences
    • School of Humanities and Social Sciences
    • View Item
    •   MKSU Digital Repository Home
    • Research and Publications
    • School of Humanities and Social Sciences
    • School of Humanities and Social Sciences
    • School of Humanities and Social Sciences
    • View Item
    JavaScript is disabled for your browser. Some features of this site may not work without it.

    Usawirishaji wa Uhusika katika riwaya za Rosa Mistika na Maisha Kitendawili

    Thumbnail
    View/Open
    Full Text (674.0Kb)
    Date
    2023-03
    Author
    Muia, Shadrack Tete
    Mutua, John
    Makoti, Vifu
    Metadata
    Show full item record
    Abstract
    Makala hii inajadili usawirishaji wa uhusika katika riwaya za Rosa Mistika na Maisha Kitendawili. Kipengele cha wahusika ni muhimu katika kazi ya fasihi kwani hushirikiana na vipengele vingine vya fani ili kutoa ujumbe wa kazi ya fasihi. Kwa kawaida wahusika hujengwa kisanaa na mwandishi ili waweze kuwasilisha dhana mbalimbali za maisha katika jamii. Kwa hivyo lengo la makala hii ni kuchambua uwashirishaji wa wahusika wakuu katika riwaya za Rosa Mistika ya Euphrase Kezilahabi na Maisha Kitendawili ya John Habwe Kwa kawaida wahusika hujengwa kisanaa na mwandishi ili waweze kuwasilisha dhana mbalimbali za maisha katika jamii. Kipengele cha wahusika ni muhimu katika kazi ya fasihi kwani hushirikiana na vipengele vingine vya fani ili kutoa ujumbe wa kazi ya fasihi. Mwandishi huwajenga wahusika wake kwa kutumia mbinu mbalimbali ili kuwatofautisha na kuiwezesha hadhira yake kutambua sifa za mhusika fulani na kutofautisha na mhusika mwingine katika kazi ya fasihi. Kwa hivyo lengo la makala hii ni kubainisha mfanano wa wahusika wakuu katika riwaya za Rosa Mistika (Euphrase Kezilahabi) na Maisha Kitendawili (John Habwe). Ili kufikia lengo la makala hii tumeongozwa na nadharia ya udhanaishi. Nadharia hii imetuwezesha kubainisha sifa za wahusika wakuu kama zilivyosawiriwa na waandishi.
    URI
    http://ir.mksu.ac.ke/handle/123456780/18002
    Collections
    • School of Humanities and Social Sciences [57]

    DSpace software copyright © 2002-2015  DuraSpace
    Contact Us | Send Feedback
    Theme by 
    @mire NV
     

     

    Browse

    All of Digital RepositoryCommunities & CollectionsBy Issue DateAuthorsTitlesSubjectsBy Submit DateThis CollectionBy Issue DateAuthorsTitlesSubjectsBy Submit Date

    My Account

    LoginRegister

    DSpace software copyright © 2002-2015  DuraSpace
    Contact Us | Send Feedback
    Theme by 
    @mire NV